Marekani yaomba Burundi ‘kuisamehe’ VOA
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Utangazaji wa Mashirika
ya Serikali ya Marekani (BBG) ambayo inasimamia shirika la habari la
Sauti ya Amerika (VOA), John Lansing amemuomba Rais wa Burundi, Pierre
Nkurunziza kutengua uamuzi wake wa kufungia matangazo ya VOA kurushwa
nchini humo.
Wiki iliyopita Burundi ilifungia matangazo ya mashirika ya VOA na BBC kwa kipindi cha miezi sita kwa madai ya kukiuka maadili ya uandishi wa habari.
Lansing ameeleza kuwa bodi hiyo itaendelea kuwaunga mkono raia wa Burundi kwa kutoa matangazo ya kuaminika na yasiyopotosha.
Wiki iliyopita Burundi ilifungia matangazo ya mashirika ya VOA na BBC kwa kipindi cha miezi sita kwa madai ya kukiuka maadili ya uandishi wa habari.
Lansing ameeleza kuwa bodi hiyo itaendelea kuwaunga mkono raia wa Burundi kwa kutoa matangazo ya kuaminika na yasiyopotosha.
No comments