Mchekeshaji Dullavani achaguliwa kupewa tuzo Marekani

Akizungumza na eatv
Dullavani amesema kuwa mashindano hayo yanayofanyikia nchini Marekani,
yameandaliwa kwa dhumuni la kukusanya 'video' fupi zinazofanya vizuri
kwenye chaneli za ‘Youtube’ zenye watazamaji wengi ambapo video yake
iliyopendekezwa ina watazamaji zaidi ya milioni saba na mshindi
atapatiwa dollar lako moja.
“Mimi kila siku nafanya vitu tofauti, na mimi kwenye kazi zangu nazingatia sana ubunifu ndiyo maana hadi leo hii nimepata fursa ya kuchaguliwa kwenye mashindano makubwa duniani na naamini hiyo yote ni kuonyesha niko tofauti na wasanii wengine”, amesema Dullavan.
Ameongeza kuwa wasanii wengi siyo wabunifu na wamekuwa wakifanya sanaa kwa kufanya kazi chini ya kiwango ndiyo maana wanashindwa kuipaisha bendera ya nchi Kimataifa.
“Mimi kila siku nafanya vitu tofauti, na mimi kwenye kazi zangu nazingatia sana ubunifu ndiyo maana hadi leo hii nimepata fursa ya kuchaguliwa kwenye mashindano makubwa duniani na naamini hiyo yote ni kuonyesha niko tofauti na wasanii wengine”, amesema Dullavan.
Ameongeza kuwa wasanii wengi siyo wabunifu na wamekuwa wakifanya sanaa kwa kufanya kazi chini ya kiwango ndiyo maana wanashindwa kuipaisha bendera ya nchi Kimataifa.
No comments